Mali yaishtumu Ukraine kwa kuhusika katika shambulio nchini humo

(from archive ) Soldiers close to the borders with Mali

Source: AAP / AAP (from archive)

Get the SBS Audio app

Other ways to listen

Mgogoro wakidiplomasia ume zuka kati ya Mali na Ukraine baada ya viongozi wa taifa hilo la Magharibi Afrika, kuishtumu taifa hiyo ya Mashariki ya Ulaya kuhusika katika shambulio nchini humo.


Kwa upande wao viongozi wa Ukraine wamekana shutma hizo.

Nchini Tanzania, jeshi la Polisi lime laumiwa na chama chakisiasa cha CHADEMA kwa matumizi mabaya ya mamlaka nakuwateka nyara baadhi ya wanachama wake.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share